Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

06 Machi 2018

Uhamiaji walipotia 'Mguu' Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala cha jijini Dar

Ukaguzi wa uhalali wa Ukaazi wa watumishi wa chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala uliofanywa na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji akiwa na Mheshimiwa Waziri wa Elimu Prof. Joyce Ndalichako chuoni hapo Gongolamboto jijini Dar es salaam.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni