Visitors
29 Septemba 2018
27 Septemba 2018
25 Septemba 2018
ZIARA YA KAMISHNA JENERALI WA UHAMIAJI MKOANI MBEYA KATIKA PICHA
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala akiwasili katika Ofisi ya Uhamiaji mkoa Mbeya |
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Peter Makakala akipokea zawadi ya Mable yenye nembo ya Uhamiaji kutoka kwa Afisa Uhamiaji Mkoa Mbeya Naibu Kamishna wa Uhamiaji Shaaban Omar Khatibu. |
Gwaride la Honour of Guard likimsubiri kumpokea Kamishna Jenerali wa Uhamiaji |
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji akiongea na watumishi wa idara na taasisi za serikali katka mpaka wa Kasumulu mkoani Mbeya wakati wa ziara yake katika mkoa huo. |
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji akisalimiana na Maafisa Uhamiaji |
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji akiwa na Afisa Uhamiaji mkoa Mbeya wakikagua mpaka wa Tanzania na Malawi huko Kasumulu |
24 Septemba 2018
22 Septemba 2018
20 Septemba 2018
19 Septemba 2018
11 Septemba 2018
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)