Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

28 Aprili 2018

Uzinduzi Wa E-Passport Mkoa Wa Dodoma

Kamishna Jenerali Wa Uhamiaji Dkt. Anna Peter Makakala Anawaalika Watanzania Wote Na Wakazi Wa Jiji La Dodoma Kwenye Uzinduzi Wa Huduma Za  E-Passport Katika Jiji Hilo SIKU YA JUMATATU TAREHE 30/04/2018, Kuanzia Saa Tatu Asubuhi Kwenye Ofisi Za Uhamiaji Dodoma.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni