Matangazo

📢 IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA — KARIBU KWENYE BLOG RASMI   ✦   📰 UHAMIAJI HABARI BLOGU — TUNAKULETEA MATUKIO KILA SIKU   ✦   📲 FUATA IDARA YETU KATIKA MITANDAO YA KIJAMII   ✦   ✉️ WASILIANA NASI: info@immigration.go.tz   ✦   ☎️ +255-22-2850575/6

28 Aprili 2018

Uzinduzi Wa E-Passport Mkoa Wa Dodoma

Kamishna Jenerali Wa Uhamiaji Dkt. Anna Peter Makakala Anawaalika Watanzania Wote Na Wakazi Wa Jiji La Dodoma Kwenye Uzinduzi Wa Huduma Za  E-Passport Katika Jiji Hilo SIKU YA JUMATATU TAREHE 30/04/2018, Kuanzia Saa Tatu Asubuhi Kwenye Ofisi Za Uhamiaji Dodoma.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni