Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

25 Aprili 2018

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji atoa salamu za Miaka 54 ya Muungano


Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Peter Makakala pamoja na Maafisa na Askari Wote wa Idara ya Uhamiaji kwa pamoja wanaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein na Watanzania Wote katika kuadhimisha Miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni