Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

10 Aprili 2018

Namna Idara ya Uhamiaji inavyopambana na suala zima la Uhamiaji Haramu


Kaimu Kamishna wa Uhamiaji (Udhibiti na Usimamizi wa Mipaka) Hosea Kagimbo akiongea katika kipindi cha Semakweli katika kituo cha Televisheni cha Channel Ten namna Idara ya Uhamiaji inavyotekeleza majukumu yake ya udhibiti na usimamizi wa mipaka kwa lengo la kudhibiti Wahamiaji Haramu nchini.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni