Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

04 Juni 2018

MATUKIO KATIKA PICHA YA UZINDUZI WA e-PASSPORT MKOA WA KILIMANJARO

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Mama Anna Mghwira akisalimiana na maafisa na askari wa Uhamiaji mkoa wa Kilimanjaro kabla ya Uzinduzi wa Pasipoti za kielektroniki mkoani humo mnamo tarehe 30 Mei 2018.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Mama Anna Mghwira akipata maelezo ya Utendaji kazi kutoka kwa Afisa Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro akisaini kitabu cha Wageni cha Ofisi ya Uhamiaji Mkoaa wa Kilimanjaro





Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro akimpatia pasipoti yake mmoja wa wananchi wa mjini Moshi 

Wanafunzi wa shule ya St. Goreth ya Moshi waliopata pasipoti zao siku ya Uzinduzi




Picha ya pamoja ya Maaafisa na Askari wa Uhamiaji na Mgeni Rasmi katika Uzinduzi wa Pasipoti za kielektroniki Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Mama Anna Mghwira





Picha ya pamoja baina ya waliopata pasipoti siku ya Uzinduzi na mgeni rasmi katika Uzinduzi huo siku ya tarehe 30 Mei 2018 Mhe. Mama Anna Mghwira Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
 
Mmoja wa wanafunzi wa shule ya Sekondari ya St. Goreth

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni