Matangazo

📢 IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA — KARIBU KWENYE BLOG RASMI   ✦   📰 UHAMIAJI HABARI BLOGU — TUNAKULETEA MATUKIO KILA SIKU   ✦   📲 FUATA IDARA YETU KATIKA MITANDAO YA KIJAMII   ✦   ✉️ WASILIANA NASI: info@immigration.go.tz   ✦   ☎️ +255-22-2850575/6

04 Juni 2018

MATUKIO KATIKA PICHA KWENYE UZINDUZI WA e-PASSPORT ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mheshimiwa Mrisho gambo akiingia kwenye ofisi za Uhamiaji mkoa wa Arusha tayari kabisa kwa tukio la Uzinduzi wa huduma za pasipoti za kielektroniki



Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Gambo akipata maelezo namna ya shughuli nzima ya uchukuaji wa taarifa za mteja kwa njia ya kielektroniki unavyofanyika kutoka kwa Afisa Uhamiaji Ally Abeid wa Kitengo cha Paipoti mkoa wa Arusha



Kamishna wa Uhamiaji Divisheni ya Pasipoti na Uraia kwa pamoja na Afisa Uhamiaji wa mkoa wa Arusha wakimkabidhi pasipoti yake Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Gambo.

Mheshiwa Gambo akiongea katika hafla hiyo ya uzinduzi wa e-passport mkoa wa Arusha

Mmoja wa Wananchi walioomba pasipoti za kielektroniki akikabidhiwa pasipoti yake wakati wa hafla ya uzinduzi huo siku ya alhamisi 31 Mei 2018.

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha akipokea pasipoti yake.



Katibu Tawala Mkoa wa Arusha akiongea wakati wa uzinduzi


Mkazi wa Arusha akikabidhiwa pasipoti yake ya kielektroniki


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni