Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

19 Juni 2018

UZINDUZI WA PASIPOTI ZA KIELEKTRONIKI MKOA WA KAGERA KATIKA PICHA











Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Bukoba Dkt. Methodius Kilaini akisoma sala kabla ya Uzinduzi.











Mkazi wa Bukoba Bwana Jamal Kalumuna akifurahia pasipoti yake mpya ya kielektroniki baada ya kukabidhiwa na mgeni rasmi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Deodatus Kinawiro.




Mhashamu Baba Askofu wa Jimbo Kuu la Katoliki Bukoba Mwadhama Desiderius Barthasar Rwoma akikabidhiwa pasipoti yake ya kielektroniki na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Deodatus Kinawiro.


Sheikh Mkuu wa Manispaa ya Bukoba Alhaji Kichwabutwa alikuwa ni miongoni mwa viongozi wa Dini waliohudhuria sherehe hizo katika Uwanja wa Mashujaa mjini Bukoba.


Kikundi cha Ngoma za Jadi kikitumbuiza

Baadhi ya Maafisa Uhamiaji kutoka Mkoa wa Kagera waliohudhuria Uzinduzi huo



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni