![]() |
| Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Bukoba Dkt. Methodius Kilaini akisoma sala kabla ya Uzinduzi. |
![]() |
| Mkazi wa Bukoba Bwana Jamal Kalumuna akifurahia pasipoti yake mpya ya kielektroniki baada ya kukabidhiwa na mgeni rasmi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Deodatus Kinawiro. |
![]() |
| Mhashamu Baba Askofu wa Jimbo Kuu la Katoliki Bukoba Mwadhama Desiderius Barthasar Rwoma akikabidhiwa pasipoti yake ya kielektroniki na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Deodatus Kinawiro. |
![]() |
| Sheikh Mkuu wa Manispaa ya Bukoba Alhaji Kichwabutwa alikuwa ni miongoni mwa viongozi wa Dini waliohudhuria sherehe hizo katika Uwanja wa Mashujaa mjini Bukoba. |
![]() |
| Kikundi cha Ngoma za Jadi kikitumbuiza |
![]() |
| Baadhi ya Maafisa Uhamiaji kutoka Mkoa wa Kagera waliohudhuria Uzinduzi huo |

































Hakuna maoni:
Chapisha Maoni