Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

21 Juni 2018

ELIMU KWA UMMA

ELIMU KWA UMMA:
---------------------------
Je unafahamu kuwa;
Raia wa Tanzania kwa kurithi hawezi kurithisha tena Uraia wake wa Tanzania kwa Mtoto wake aliyezaliwa nje ya Nchi?
Usikose kusikiliza kipindi cha Uraia Wetu kupitia Morning Star FM Radio Leo tarehe 21/06/2017, Saa 4:00 Asubuhi


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni