Matangazo

📢 IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA — KARIBU KWENYE BLOG RASMI   ✦   📰 UHAMIAJI HABARI BLOGU — TUNAKULETEA MATUKIO KILA SIKU   ✦   📲 FUATA IDARA YETU KATIKA MITANDAO YA KIJAMII   ✦   ✉️ WASILIANA NASI: info@immigration.go.tz   ✦   ☎️ +255-22-2850575/6

21 Juni 2018

ELIMU KWA UMMA

ELIMU KWA UMMA:
---------------------------
Je unafahamu kuwa;
Raia wa Tanzania kwa kurithi hawezi kurithisha tena Uraia wake wa Tanzania kwa Mtoto wake aliyezaliwa nje ya Nchi?
Usikose kusikiliza kipindi cha Uraia Wetu kupitia Morning Star FM Radio Leo tarehe 21/06/2017, Saa 4:00 Asubuhi


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni