Matangazo

📢 IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA — KARIBU KWENYE BLOG RASMI   ✦   📰 UHAMIAJI HABARI BLOGU — TUNAKULETEA MATUKIO KILA SIKU   ✦   📲 FUATA IDARA YETU KATIKA MITANDAO YA KIJAMII   ✦   ✉️ WASILIANA NASI: info@immigration.go.tz   ✦   ☎️ +255-22-2850575/6

21 Juni 2018

ELIMU KWA UMMA

ELIMU KWA UMMA:
---------------------------
Je unafahamu kuwa;
Raia wa Tanzania kwa kurithi hawezi kurithisha tena Uraia wake wa Tanzania kwa Mtoto wake aliyezaliwa nje ya Nchi?
Usikose kusikiliza kipindi cha Uraia Wetu kupitia Morning Star FM Radio Leo tarehe 21/06/2017, Saa 4:00 Asubuhi


19 Juni 2018

UZINDUZI WA PASIPOTI ZA KIELEKTRONIKI MKOA WA KAGERA KATIKA PICHA











Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Bukoba Dkt. Methodius Kilaini akisoma sala kabla ya Uzinduzi.











Mkazi wa Bukoba Bwana Jamal Kalumuna akifurahia pasipoti yake mpya ya kielektroniki baada ya kukabidhiwa na mgeni rasmi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Deodatus Kinawiro.




Mhashamu Baba Askofu wa Jimbo Kuu la Katoliki Bukoba Mwadhama Desiderius Barthasar Rwoma akikabidhiwa pasipoti yake ya kielektroniki na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Deodatus Kinawiro.


Sheikh Mkuu wa Manispaa ya Bukoba Alhaji Kichwabutwa alikuwa ni miongoni mwa viongozi wa Dini waliohudhuria sherehe hizo katika Uwanja wa Mashujaa mjini Bukoba.


Kikundi cha Ngoma za Jadi kikitumbuiza

Baadhi ya Maafisa Uhamiaji kutoka Mkoa wa Kagera waliohudhuria Uzinduzi huo



14 Juni 2018

EID EL FITR NJEMA

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji pamoja na Watumishi wote wanawatakia Watanzania wote Eid Elf Fitr Njema.