Matangazo

📢 IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA — KARIBU KWENYE BLOG RASMI   ✦   📰 UHAMIAJI HABARI BLOGU — TUNAKULETEA MATUKIO KILA SIKU   ✦   📲 FUATA IDARA YETU KATIKA MITANDAO YA KIJAMII   ✦   ✉️ WASILIANA NASI: info@immigration.go.tz   ✦   ☎️ +255-22-2850575/6

21 Januari 2018

Huduma halali za Pasipoti, Epuka Upotoshwaji.

       Pasipoti hutolewa kwa Raia wa Tanzania tu.
       Na ni haki ya kila Mtanzania, Timiza wajibu wako.
       Zingatia Taratibu za Uombaji na Utoaji wa Pasipoti.

Maombi ya Pasipoti huwasilishwa na mwombaji mwenyewe katika Ofisi za Uhamiaji Makao Makuu, Afisi ya Uhamiaji Zanzibar, au kwenye ofisi yoyote ya Uhamiaji Mkoa ama Wilaya anayoishi mwombaji au Ofisi za Balozi za Tanzania kwa waombaji wanaoishi nchi za nje.

Huduma zote za Uhamiaji hazina Uwakala – Epuka Mawakala/Vishoka


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni