Matangazo

📢 IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA — KARIBU KWENYE BLOG RASMI   ✦   📰 UHAMIAJI HABARI BLOGU — TUNAKULETEA MATUKIO KILA SIKU   ✦   📲 FUATA IDARA YETU KATIKA MITANDAO YA KIJAMII   ✦   ✉️ WASILIANA NASI: info@immigration.go.tz   ✦   ☎️ +255-22-2850575/6

26 Januari 2018

Mkutano wa Mheshimiwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na waandishi wa Habari Makao Makuu ya Uhamiaji

Mheshimiwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi jana tarehe 25 Januari 2018 alifanya mkutano na waandishi wa habari katika Ofisi za Uhamiaji Makao Makuu.

Katika mkutano huo, alitoa maagizo mbalimbali na pia kusimamisha utoaji wa pasipoti kwa vijana wanaokwenda nje ya nchi kufanya kazi za ndani na nyinginezo ambapo imeripotiwa kuwa pindi wakiwa huko ughaibuni huteswa, kunyanyaswa na hata kuuwawa.






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni