Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

26 Januari 2018

Mkutano wa Mheshimiwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na waandishi wa Habari Makao Makuu ya Uhamiaji

Mheshimiwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi jana tarehe 25 Januari 2018 alifanya mkutano na waandishi wa habari katika Ofisi za Uhamiaji Makao Makuu.

Katika mkutano huo, alitoa maagizo mbalimbali na pia kusimamisha utoaji wa pasipoti kwa vijana wanaokwenda nje ya nchi kufanya kazi za ndani na nyinginezo ambapo imeripotiwa kuwa pindi wakiwa huko ughaibuni huteswa, kunyanyaswa na hata kuuwawa.






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni