Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

17 Januari 2018

Ukaguzi wa Wageni nchini Mkoa wa Kagera


Sheria Ya Uhamiaji Sura 54 Rejeo la 2016 inampa mamlaka Afisa Uhamiaji kumsimamisha mtu yeyote na kumhoji juu ya Uhalali wake wa kuwepo nchini Tanzania. Hapa ni Afisa Uhamiaji kutoka Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Kagera Sajini Elia Mlay akimkagua raia wa Poland kujiridhisha uhalali wake wa kuishi nchini.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni