Matangazo

📢 IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA — KARIBU KWENYE BLOG RASMI   ✦   📰 UHAMIAJI HABARI BLOGU — TUNAKULETEA MATUKIO KILA SIKU   ✦   📲 FUATA IDARA YETU KATIKA MITANDAO YA KIJAMII   ✦   ✉️ WASILIANA NASI: info@immigration.go.tz   ✦   ☎️ +255-22-2850575/6

17 Januari 2018

Ukaguzi wa Wageni nchini Mkoa wa Kagera


Sheria Ya Uhamiaji Sura 54 Rejeo la 2016 inampa mamlaka Afisa Uhamiaji kumsimamisha mtu yeyote na kumhoji juu ya Uhalali wake wa kuwepo nchini Tanzania. Hapa ni Afisa Uhamiaji kutoka Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Kagera Sajini Elia Mlay akimkagua raia wa Poland kujiridhisha uhalali wake wa kuishi nchini.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni