Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

25 Agosti 2018

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji aongoza Watumishi wa Uhamiaji kufanya Usafi Kambi ya Wazee, Walemavu na Wasiojiweza

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Peter Makalala, leo siku ya Jumamosi Agosti 25, 2018 ameongoza Watumishi wa Idara ya Uhamiaji kufanya Usafi katika Kambi ya Wazee, Walemavu na Wasiojiweza iliyopo Nunge Wilayani Kigamboni.

Pamoja na Usafi huo, Kamishna alikabidhi vifaa mbalimbali vya kufanyia usafi pamoja na vyakula kwa viongozi wa Kambi ili vitumike kwa ajili ya Wazee, Walemavu na Wasiojiweza katika Kambi hiyo.

#ePassport #eVisa #ePermit #eBorder








Hakuna maoni:

Chapisha Maoni