Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

31 Desemba 2019

MSHINDI WA SHINDANO BENKI YA NBC AKABIDHIWA PASIPOTI

Kamaishna Msaidizi wa uhamiaji na Mkuu wa kitengo cha pasipoti Dorah Luoga akikabidhi pasipoti kwa mshindi wa shindano la kuweka akiba katika Benki ya NBC Bi. Rebeka Joshua Marwa katika Ofisi ndogo ya Uhamiaji Makao Makuu Dar es salaam.

Makabidhiano hayo yalihudhuriwa na maafisa toka benki ya NBC  Pamoja na Msemaji Mkuu wa Idara ya Uhamiaji Mrakibu Mwandamizi Alhaj Ally Mtanda. Kwa ushindi huo Bi. Rebeka Joshua  Marwa anatarajia kwenda nchini Shelisheli.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni