Matangazo

πŸ“’ IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA — KARIBU KWENYE BLOG RASMI   ✦   πŸ“° UHAMIAJI HABARI BLOGU — TUNAKULETEA MATUKIO KILA SIKU   ✦   πŸ“² FUATA IDARA YETU KATIKA MITANDAO YA KIJAMII   ✦   ✉️ WASILIANA NASI: info@immigration.go.tz   ✦   ☎️ +255-22-2850575/6

18 Oktoba 2019

UHAMIAJI YASHIRIKI MAONYESHO YA UTALII YA “SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO






























Katibu mkuu kiongozi  Balozi John kijazi leo amezindua maonyesho ya Utalii ya” SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO katika viwanja vya mlimani city Dar es salaam.

Maonyesho hayo ambayo yameanza leo tarehe18 yatamalizika tarehe 20 mwezi huu yamehusisha taasisi mbalimali ikiwemo idara ya uhamiaji ambapo kama kawaida imeendelea kutoa huduma kwa wageni waalikwa pamoja na wananchi wanaohudhulia maonyesho hayo.

Kwa upande wake mgeni rasmi kwenye maonyesho hayo Balozi Kijazi amesifu maandalizi ya maonyesho hayo na kuwataka wanachi kujitokeza kujua na kujifunza mambo mbalimbali kupitia maonyesho hayo ambayo yanatarajiwa kumalizika Jumapili.

Pia balozi kijazi ameongeza  Maonyesho hayo yamesaidia sana kukuza sekta ya utalii  ikiwa ni pamoja na kuongeza  pato la taifa kupitia  sekta ya utalii nchini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni