Kamishna
Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala siku ya Alhamisi tarehe 22 Oktoba 2020,
amefanya ziara kukagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Uhamiaji Makao Makuu
jijini Dodoma.
Uhamiaji Dkt. Makakala atembelea na kukagua maendeleo ya
Ujenzi wa Jengo la Makao Makuu ya Uhamiaji jijini Dodoma. Katika ziara hiyo,
Kamishna Jenerali ailiipongeza Kampuni ya Suma JKT kwa kasi na kazi nzuri ya
ujenzi wa jengo hilo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni