Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

23 Oktoba 2020

CGI Dkt. ANNA MAKAKALA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala siku ya Alhamisi tarehe 22 Oktoba 2020, amefanya ziara kukagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Uhamiaji Makao Makuu jijini Dodoma. 

Uhamiaji Dkt. Makakala atembelea na kukagua maendeleo ya

Ujenzi wa Jengo la Makao Makuu ya Uhamiaji jijini Dodoma. Katika ziara hiyo,
Kamishna Jenerali ailiipongeza Kampuni ya Suma JKT kwa kasi na kazi nzuri ya
ujenzi wa jengo hilo.











Hakuna maoni:

Chapisha Maoni