Matangazo

📢 IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA — KARIBU KWENYE BLOG RASMI   ✦   📰 UHAMIAJI HABARI BLOGU — TUNAKULETEA MATUKIO KILA SIKU   ✦   📲 FUATA IDARA YETU KATIKA MITANDAO YA KIJAMII   ✦   ✉️ WASILIANA NASI: info@immigration.go.tz   ✦   ☎️ +255-22-2850575/6

24 Desemba 2021

Sikukuu njema ya Krismasi kwa Watanzania Wote


 

"Kwa niaba ya Maafisa, Askari na Watumishi wote wa Idara ya Uhamiaji, Nawatakia Watanzania wote Sikukuu Njema ya Krismasi. Tusherehekee kwa amani na utulivu ili tuweze kufika salama mwaka 2022" - Dkt. Anna Makakala

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni