Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

27 Julai 2020

Buriani Rais Mstaafu Hayati Benjamini William Mkapa 1938-2020 Uhamiaji Tunakulilia, Pumzika kwa Amani

Idara ya Uhamiaji Tanzania Imeshiriki katika Kuaga Mwili wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mhe.  Benjamin William Mkapa Katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  jana alihudhuria Ibada ya Kumuaga Hayati Mzee Mkapa 

Aidha Viongozi wengine akiwemo Kamishna Jenerali wa Uhamiaji (CGI) Dkt. Anna Makakala alihudhuria pia ibada hiyo, pia viongozi wa serikali, Majeshi mbalimbali na Wananchi waliendelea kumuaga Hayati Mzee Mkapa.

HABARI PICHA NA MATUKIO

Mwili wa Hayati Mzee Mkapa ukiwasili katika Uwanja wa Uhuru










 
Kamishna Jenerali w aUhamiaji CGI Dkt. Anna Makakala akitoka Uwanjani Mara baada ya Kumaliza Misa Takatifu ya Kumuaga Hayati Mzee Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam






Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. George Simbachawene alivyowasili kuuaga Mwili wa Hayati Mzee Mkapa







Baadhi ya Makamishna wa Uhamiaji Wakisubiri Taratibu za Kuaga Mwili wa Hayati Mzee Mkapa



Baadhi ya Maofisa Uhamiaji wakiwasili katika Uwanja wa Uhuru tayari kwa Kuaga Mwili wa Hayati Mzee Mkapa










Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Ally Hapi akiwasili katika Uwanja wa Uhuru Kuaga Mwili wa Hayati Benjamin Mkapa



(Picha zote na Kitengo cha Uhusiano Uhamiaji Makao Makuu)


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni