Visitors

IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA UHAMIAJI HABARI BLOGU KARIBU KWENYE BLOG RASMI YA IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA TUNAKULETEA MATUKIO YANAYOTOKEA KILA SIKU KATIKA IDARA YA UHAMIAJI TAFADHALI TUNAOMBA TUFUATILIE PIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII

17 Julai 2020

Habari Picha Ziara ya Kamishna Jenerali wa Uhamiaji CGI Dkt. Anna Makakala Wilayani Muheza

Muheza, Tanga 

Ziara ya Kikazi ya Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala Ilivyoendelea Wilayani Muheza na kupokelewa na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya Muheza Mhandisi Mwanasha Tumbo.

Ziara hii imefanyika mapema mwezi huu ambapo CGI Dkt. Anna Makakala alipita katika kila Wilaya na vituo vya Uhamiaji Mkoa wa Tanga Sanjari na kufanya Ukaguzi wa Mipaka na utendaji kazi wa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji Tanzania

  HABARI PICHA NA MATUKIO
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji  CGI Dkt. Anna Makakala Akipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Muheza Eng. Mwanasha Tumbo

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji  CGI Dkt. Anna Makakala Akisalimiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Muheza
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala Akisaini Kitabu cha Wageni alipowasili katika ziara ya kikazi Wilayani Muheza 
Afisa Uhamiaji (W) Muheza
Mkuu wa Wilaya ya Muheza Eng. Mwanasha Tumbo akitoa taarifa ya hali ya ulinzi na usalama ya wilaya kwa Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Tanzania Dkt. Anna Makakala

Picha ya Pamoja Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Tanzania na Kamti ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Muheza





Pichani, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji  CGI Dkt. Anna Makakala kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Muheza Eng. Mwanasha Tumbo
 


Kamishna Jenerali wa Uhamiaji  CGI Dkt. Anna Makakala akifurahia jambo na Mkuu wa Wilaya Muheza Eng. Mwanasha Tumbo (Mwenye Ushungi), (Kushoto) ni  Afisa Uhamiaji Mkoa wa Tanga Mrakibu Mwandamizi Mbaraka Batenga
(Picha zote na Kitengo cha Uhusiano Uhamiaji Makao Makuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni