Afande Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna P. Makakala akiongea na Maafisa, Askari na Watumishi raia wa Makao Makuu, Mkoa wa Dar es Salaam na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere, katika Kikao cha Watumishi wote jana mchana, Makao Makuu ya Uhamiaji. Aliyeketi kulia kwake ni Kamishna wa Uhamiaji (Sheria), Hannelore Morgan Manyanga na kushoto kwake ni Kamishna wa Uhamiaji (Paspoti na Uraia), Gerald Kihinga. Katika kikao hicho Afande Jenerali aliwatakia watumishi wote wa Uhamiaji, sherehe njema za Krismasi na Mwaka mpya na kukumbusha weledi na na uadilifu katika utendaji kazi.
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni